Monday, January 31, 2011

7th Inter-Universities Competition in Nairobi

Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa akishangilia ushindi wa mpira wa miguu dhidi ya Naazarene University. Tumaini ilishinda 2-1 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Kenyata University.



Mkuu wa chuo cha Tumaini-Iringa, Prof N.T Bangu (katikati mwenye suti nyeusi) akiwa na timu ya michezo ya chuo hicho kabla ya kuondoka kwenda Nairobi kwenye mashindano ya vyuo vikuu vya Africa Mashariki


Kila Chuo kilikuwa na namna yake ya kushangilia



Moja ya jengo la chuo kikuu Kenyata-Kenya 

Timi mpira wa kikapu ya chuo kikuu Tumaini wakiwa mazoezini Naorobi
Kitambo kidogo kabla ya kuingia uwanjani
Kuuza sura kama kwaida
Mdogomdogo kamaa!!!!!!! Ulaya
Daaaa!!!!!! so tired bro.
TUICo football team
Nairobi-Kenya
Ushindi ni jadi yetu
Kazi na dawa chief Lwanji


Timu ya mpira wa kikapu ya wanawake katika mazoezi kabla ya kuingia uwanjani











No comments:

Post a Comment