| Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa akishangilia ushindi wa mpira wa miguu dhidi ya Naazarene University. Tumaini ilishinda 2-1 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Kenyata University. |
| Kila Chuo kilikuwa na namna yake ya kushangilia |
![]() |
| Moja ya jengo la chuo kikuu Kenyata-Kenya |
| Timi mpira wa kikapu ya chuo kikuu Tumaini wakiwa mazoezini Naorobi |
| Kitambo kidogo kabla ya kuingia uwanjani |
| Kuuza sura kama kwaida |
| Mdogomdogo kamaa!!!!!!! Ulaya |
| Daaaa!!!!!! so tired bro. |
| TUICo football team |
![]() |
| Nairobi-Kenya |
| Ushindi ni jadi yetu |
| Kazi na dawa chief Lwanji |
| Timu ya mpira wa kikapu ya wanawake katika mazoezi kabla ya kuingia uwanjani |


No comments:
Post a Comment