![]() |
Mzee Pwagu akielekea ilipo power station ya kijiji cha chamani, kijiji hicho kipo kilometa 15 kutoka ilipo power station ya mji mwema |
![]() |
Akifungua Mlango wa power station, pembeni ni kijana ambaye amepewa mafunzo na mzee Pwagu namna ya kutengeneza umeme na kukisimamia kituo hicho cha umeme. |
![]() |
Mashine ya kuzalisha umeme kwa kutumia maji kama inavyoonekana. |
![]() |
Mashine hii inazalisha umeme wenye uwezo wa kutumika na kaya 50 katika kijiji cha chamani, lakini ni baadhi ya wanakijiji tu ndio ambao wamefikiwa na huduma hiyo |
![]() |
Mzee Pwagu akitoka toka power station huku akitaniana na vijana wake. |
No comments:
Post a Comment