Thursday, April 14, 2011

Power station ya mradi wa kijiji cha chamani

Mzee Pwagu akielekea ilipo power station ya kijiji cha chamani, kijiji hicho kipo kilometa 15 kutoka ilipo power station ya mji mwema
Akifungua Mlango wa power station, pembeni ni kijana ambaye amepewa mafunzo na mzee Pwagu namna ya kutengeneza umeme na kukisimamia kituo hicho cha umeme.
Mashine ya kuzalisha umeme kwa kutumia maji kama inavyoonekana.
Mashine hii inazalisha umeme wenye uwezo wa kutumika na kaya 50 katika kijiji cha chamani, lakini ni baadhi ya wanakijiji tu ndio ambao wamefikiwa na huduma hiyo
Mzee Pwagu akitoka toka power station huku akitaniana na vijana wake.

No comments:

Post a Comment