- Mgeni rasmi Mhe. Lazaro Nyalandu, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda
- Mdegela awaasa wanasiasa wa Tanzania kuacha ubinafsi
Mkuu wa kitivo cha sheria Renatus Mgongo, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Lazaro Nyalandu na Askofu wa KKKT-Iringa Dr. Owdenburg Mdegela alipowasiri chuo kikuu cha Tumaini-Iringa |
Katika ukumbi wa Multipurpose |
Askofu Mdegela akimnong'oneza waziri Nyalandu |
Wakitoa heshima ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari |
Mkuu wa kitivo cha sheria akiwakaribisha na wageni katika hafra |
Mkuu wa chuo Prof. Nicolas Bangu akifungua hafra ya maadhimisho ya mauaji ya Kimbari |
Mhadhili wa sheria akiwasilisha mada kuhusu sheria ya Kimataifa |
Mwanasaikolojia na mhadhili wa saikolojia katika chuo kikuu cha Tumaini Mch. Mutha Ruiza akiwasilisha mada juu ya athali za kisaikolojia zilizotokana na mauaji ya Kimbari |
Wanafunzi wakisikiliza kwa makini |
Usikivu! |
Umakini |
Ni wakati wa wasikilizaji nao kuchangia hoja, Huyu ni Mhadhili wa sheria akichangia hoja juu ya sheria ya kimataifa |
Mhadhili wa chuo kikuu cha Tumaini akichangia hoja juu ya matatizo ya kisheria yayolikumba bara la Afrika |
Godwin Kunambi akichangia hoja |
Kanyolo pia alikuwepo |
Wakiagana mwisha wa hafra |
No comments:
Post a Comment