Monday, April 11, 2011

Maazimisho ya 17 ya mauaji ya Kimbari 1994 Rwanda yaliyofanyika katika chuo kikuu cha Tumaini Iringa

  • Mgeni rasmi Mhe. Lazaro Nyalandu, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda
  • Mdegela awaasa wanasiasa wa Tanzania kuacha ubinafsi
Na mpiga picha wetu Elisha Magolanga
    Mkuu wa kitivo cha sheria Renatus Mgongo, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Lazaro Nyalandu na Askofu wa KKKT-Iringa Dr. Owdenburg Mdegela alipowasiri chuo kikuu cha Tumaini-Iringa
    Katika ukumbi wa Multipurpose
    Askofu Mdegela akimnong'oneza waziri Nyalandu
    Wakitoa heshima ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari
    Mkuu wa kitivo cha sheria akiwakaribisha na wageni katika hafra
    Mkuu wa chuo Prof. Nicolas Bangu akifungua hafra ya maadhimisho ya mauaji ya Kimbari
    Mhadhili wa sheria akiwasilisha mada kuhusu sheria ya Kimataifa
    Mwanasaikolojia na mhadhili wa saikolojia katika chuo kikuu cha Tumaini
    Mch. Mutha Ruiza akiwasilisha mada juu ya athali za kisaikolojia zilizotokana na mauaji ya Kimbari
    Wanafunzi wakisikiliza kwa makini
    Usikivu!
    Umakini
    Ni wakati wa wasikilizaji nao kuchangia hoja, Huyu ni Mhadhili wa
    sheria akichangia hoja juu ya sheria ya kimataifa
    Mhadhili wa chuo kikuu cha Tumaini akichangia hoja juu ya
    matatizo ya kisheria yayolikumba bara la Afrika
    Godwin Kunambi akichangia hoja
    Kanyolo pia alikuwepo
    Wakiagana mwisha wa hafra

No comments:

Post a Comment