- Mgeni rasmi Mhe. Lazaro Nyalandu, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda
- Mdegela awaasa wanasiasa wa Tanzania kuacha ubinafsi
| Mkuu wa kitivo cha sheria Renatus Mgongo, Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Lazaro Nyalandu na Askofu wa KKKT-Iringa Dr. Owdenburg Mdegela alipowasiri chuo kikuu cha Tumaini-Iringa |
| Katika ukumbi wa Multipurpose |
| Askofu Mdegela akimnong'oneza waziri Nyalandu |
| Wakitoa heshima ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari |
| Mkuu wa kitivo cha sheria akiwakaribisha na wageni katika hafra |
| Mkuu wa chuo Prof. Nicolas Bangu akifungua hafra ya maadhimisho ya mauaji ya Kimbari |
| Mhadhili wa sheria akiwasilisha mada kuhusu sheria ya Kimataifa |
| Mwanasaikolojia na mhadhili wa saikolojia katika chuo kikuu cha Tumaini Mch. Mutha Ruiza akiwasilisha mada juu ya athali za kisaikolojia zilizotokana na mauaji ya Kimbari |
| Wanafunzi wakisikiliza kwa makini |
| Usikivu! |
| Umakini |
| Ni wakati wa wasikilizaji nao kuchangia hoja, Huyu ni Mhadhili wa sheria akichangia hoja juu ya sheria ya kimataifa |
| Mhadhili wa chuo kikuu cha Tumaini akichangia hoja juu ya matatizo ya kisheria yayolikumba bara la Afrika |
| Godwin Kunambi akichangia hoja |
| Kanyolo pia alikuwepo |
| Wakiagana mwisha wa hafra |
No comments:
Post a Comment