![]() |
Rais John K. Juma akitoa ufafanuzi katika mkutano aliouitisha |
![]() |
Godwin Kunambi ambaye ni Katibu Mkuu wa Serikali ya wanafunzi aliyefukuzwa kazi akipanda jukwaani kutoa ufafanuzi |
![]() |
Kunambi akitoa vielelezo vya tuhuma za ufisadi wa serikali ya wanafunzi |
![]() |
Kwa msisitizo zaidi |
![]() |
Rais John K Juma akijiandaa kutoa utetezi wake |
![]() |
Wanafunzi walipovamia ofisi ya rais |
![]() |
Kunambi akijibu hoja za rais |
![]() |
Mashuhuda wa tukio |
![]() |
Kwa shauku kubwa |
![]() |
John K. Juma akitoa tamko la kijiuzulu |
![]() |
Mwandishi wa habari wa TBC, Lukra Zeno akichukua tukio |
Kunambi akizungumza na wanahabari |
Wakimtaka John K Juma atoke nje |
Wakisubiri hatima ya John Kanyoro Juu ya utawala wake |
Thank you Tumaini News.
ReplyDelete