Wednesday, February 16, 2011

Michuano ya kuazimisha miaka 10 ya Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino yaliyofanyika Iringa

Baadhi  ya  wachezaji  wa  Iringa  University  College (IUCO)
na  Saint  Augustine University  of  Tanzania  (SAUTI)
wakichuana  vikali   katika Mashindano  ya  kuazimisha 
Miaka  kumi  tangu  kuanzishwa  kwa  vyuo 
vishirikishi  vya  SAUTI(picha  na  Joshua  Mlolere) 


kocha  wa  timu  ya  Iringa  University  College (IUCO)
katika  mpira  wa  kikapu akiwa  anatoa  maelekezo
kwa  wachezaji  wake  wakati  wa  mapumziko.
(picha  na  Frank  Kimaro) 

Wachezaji  wakiwa wanausubiri  mpira  katika  fainali  iliyofanyika 
katika  moja  ya  kiwanja  cha vyuo  vishirikishi   vya  SAUTI 
ambapo  SAUTI  waliibuka  vinara  kwa  IUCO.
(picha  na  Frank  Kimaro)

Captain  wa  zamani  wa  timu  ya  IUCO, Faki  ali  maarufu
kama  Q  akiwa  anatoa  maelekezo  kwa  wachezaji  wa  IUCO. 



Mashabiki  wa  timu  ya  chuo  cha  Iringa  University  College 
wakiwa  wanashangilia  ingawa  walipoteza  mechi  hiyo  baada
ya  kufungwa  na  Saint  Augustine  University  of  Tanzania.
(picha  na  Frank  Kimaro) 




Mashabiki  wa  timu  za  mpira  wa  kikapu  wakiwa  wanaonesha
ushabiki  wao  kwa  kucheza  nyimbo  mbalimbali  katika  viwanja
vya  Ruaha  University  College(RUCO).(picha  na  Frank Kimaro)


Pamoja na upenzi wa mechi pia katika burudani ya muziki wapo,
walishindwa kuvumilia pale DJ wa airtel alipowagongea nyimbo
za ukweli baaada ya mechi. ( Picha  na  Shishira  Mnzava)


No comments:

Post a Comment